Tofauti Kati Ya Manhaj Na ‘Aqiydah
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Je, kuna tofauti baina ya ‘Aqiydah Na Manhaj?
JIBU:
Manhaj ina maana pana zaidi kuliko ‘Aqiydah.
Manhaj inapatikana katika ‘Aqiydah na katika maadili na tabia na muamala; na katika maisha yote ya Muislamu.
Ama ‘Aqiydah hii inatokana na asili (msingi) wa Iymaan pamoja na maana ya Shahada mbili na yanayohusiana nayo. Hii ndio ‘Aqiydah.
[Al-Ajwibah Al-Mufiydah, uk. 75]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9471&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Tofauti%20Kati%20Ya%20Manhaj%20Na%20%E2%80%98Aqiydah%20