Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Shaykh Fawzaan: Mwenye Hedhi Kugusa Qur-aan Au Aayah Katika Simu Za Mkononi

Shaykh Fawzaan: Mwenye Hedhi Kugusa Qur-aan Au Aayah Katika Simu Za Mkononi

Shaykh Fawzaan [1]

 

Mwenye Hedhi Kugusa Qur-aan Au Aayah Katika Simu Za Mkononi

 

Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya mwanamke mwenye hedhi kugusa maneno ya Qur-aan ambayo yamo katika simu za mkononi?

 

 

JIBU:

 

(Hukmu ya Qur-aan iliyomo katika) Simu za mkononi, si (sawa) kama Qur-aan yenyewe (Msahafu) bali hiyo ni dijitali; kwa hiyo anaruhusiwa kuibeba au kuishika.

 

 

[Sharh ‘Umdatil-Fiqh, kanda Namba 7, swali namba 24]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9521

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9521&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Mwenye%20Hedhi%20Kugusa%20Qur-aan%20Au%20Aayah%20Katika%20Simu%20Za%20Mkononi