Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Rajab: Hakuna Dalili Kuzaliwa Kwa Nabiy Au Kupewa Unabiy Katika Mwezi Wa Rajab

Imaam Ibn Rajab: Hakuna Dalili Kuzaliwa Kwa Nabiy Au Kupewa Unabiy Katika Mwezi Wa Rajab

Kauli Za Salaf: Bid’ah [1]

 

 Hakuna Dalili Kuzaliwa Kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) 

Au Kupewa Unabiy Katika Mwezi Wa Rajab

 

Imaam Ibn Rajab (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

Imaam Ibn Rajab (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Iliripotiwa kuwa ilikuwa katika mwezi wa Rajab kwamba kulikuwa na matukio makubwa, na hakuna hata moja ya hayo yaliyo sahihi. Ikasemwa kuwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alizaliwa usiku wa kwanza, na kwamba alipewa Unabii  siku ya ishirini na saba ya mwezi huo, na ikasemwa kuwa siku ya ishirini na tano, lakini hakuna kilichokuwa sahihi katika hayo.”    [Latwaaif Al-Ma’aarif (290)]

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9624

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/221
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9624&title=Imaam%20Ibn%20Rajab%3A%20Hakuna%20Dalili%20Kuzaliwa%20Kwa%20Nabiy%20Au%20Kupewa%20Unabiy%20Katika%20Mwezi%20Wa%20Rajab