Katlesi Za Samaki Wa Tuna Shepu Ya Yai
Vipimo
Viazi - 5 vikubwa au 7
Samaki wa tuna - 2 vikopo
Pilipili kijani ya kusaga -2
Bizari mchanganyiko au ya mchuzi – 2 vijiko vya chai
Ndimu – 1 kamua
Kotmiri – katakata kiasi
Chumvi - kiasi
Mayai – 2
Unga wa toast - kiasi
Mafuta ya kukaangia
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F983&title=Katlesi%20Za%20Samaki%20Wa%20Tuna%20Shepu%20Ya%20Yai