Kachori
Vipimo
Viazi (mbatata) - 2lb
Kitunguu saumu(thomu/galic) na Tangawizi - Kijiko 1 cha chakula
Chumvi - Kijiko 1 cha chakula
Pilipili ya kusaga - kutegemea na unavyoipenda
Ndimu - 1
Mafuta ya kupikia
Unga wa dengu au Ngano - Kiasi.
Namna ya kutayarisha na kupika
Kidokezo.
Ni nzuri sana kuliwa kwa chatne, au kwa kuchanganywa kwenye mix ya bajia na mbatata za rojo.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F986&title=Kachori%20