Sambusa Za Kuku Na Mboga
Vipimo
Manda ya sambusa ya tayari Kiasi inavyouzwa - (Kiasi ya sambusa 40-50)
Mafuta ya kukaangia - Kiasi
Kuku (kidari) kilichosagwa - 1 Kilo
Kitunguu saumu(thomu) na tangawizi iliyosagwa - 1 kijiko cha chai
Pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Pilipili manga - 1 kijiko cha supu
Bizari ya pilau ya unga (cummin powder) - 1 kijiko cha chai
Bizari ya mchuzi - 1 kijiko cha chai
Ndimu - 1 kijiko cha supu
Mboga mchanganyiko (za barafu) - 1 kikombe
Chumvi - Kiasi
Nyanya iliyokatwa ndogo ndogo - 1
Vitunguu maji vilivyokatwa (chopped) - 1 Kikombe
Kotmiri iliyokatwa (chopped)
Namna ya kutayarisha na kupika
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F993&title=Sambusa%20Za%20Kuku%20Na%20Mboga