Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti > 17-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Je, Surat Yaasin husomwa kwa maiti?

17-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Je, Surat Yaasin husomwa kwa maiti?

 
Je, Surat Yaasin husomwa kwa maiti?
 
 
Imezoeleka kwa watu wengi hupenda kusoma surat Yasin kwa mtu anayekufa na baada ya kufa kwake na katika kaburi lake vile vile. Hakika jambo hili ni jambo lisilofaa na katika maeneo haya, hakuna fadhila zozote anazopata kwa kusomwa kwa surat Yasin. Hakika kusomwa kwake katika sehemu hizi ni Bid’a haimfai maiti kitu.
Share [1]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/1496

Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1496&title=17-Dalili%20Za%20Kheri%20Katika%20Mambo%20Yamfaayo%20Maiti%3A%20%20Je%2C%20Surat%20Yaasin%20husomwa%20kwa%20maiti%3F