Muda unaokatazwa kuswalia jeneza na kuzika:
Kutoka kwa Uqbah bin ‘Amir (Radhiya Allaahu 'anhu) amesema, ‘Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) ametukataza kuswalia na kuzika maiti katika nyakati tatu; pindi linapochomoza jua hadi linapotulia juu, pindi jua linapokuwa katikati hadi linapopinda, pindi jua linapoanza kuzama hadi linapokuwa limezama kabisa.’ (Muslim)
Nyakati zenyewe ni hizi: linapochomoza hadi baada yake
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1515&title=36-Dalili%20Za%20Kheri%20Katika%20Mambo%20Yamfaayo%20Maiti%3A%20Muda%20unaokatazwa%20kuswalia%20jeneza%20na%20kuzika