Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Kitaab At-Tawhiyd (Word Doc) Chapisho La 2 Kimehaririwa 1438H (2017M) > 56-Kitaab At-Tawhiyd: Kisiombwe Chochote Kwa Wajihi Wa Allaah Isipokuwa Jannah

56-Kitaab At-Tawhiyd: Kisiombwe Chochote Kwa Wajihi Wa Allaah Isipokuwa Jannah

Mlango Wa 56

بَابٌ لا يُسْأَلُ بِوَجْهِ اَللَّهِ إِلاَّ الْجَنَّةُ

Kisiombwe Chochote Kwa Wajihi Wa Allaah Isipokuwa Jannah


 

 

عَنْ جَابِرٍ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ (صَلَّى اَللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ): ((لاَ يُسْأَلُ بِوَجْهِ اَللَّهِ إِلاَّ الْجَنَّةُ))  رَوَاهُ أَبُو دَاوُدَ

Imepokelewa kutoka kwa Jaabir (رضي الله عنه)  kwamba Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Kisiombwe chochote kwa Wajihi wa Allaah isipokuwa Jannah)) [Abuu Daawuwd]

 

 

Masuala Muhimu Yaliyomo:

 

 

1-Makatazo ya kuomba kitu kwa Wajihi wa Allaah (سبحانه وتعالى) isipokuwa Jannah ambayo jambo kuu kabisa. 

 

2-Kuthibitisha Sifa ya Allaah (سبحانه وتعالى) kuwa Ana Wajihi.

 

 

 

Share [1]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7912

Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7912&title=56-Kitaab%20At-Tawhiyd%3A%20Kisiombwe%20Chochote%20Kwa%20Wajihi%20Wa%20Allaah%20Isipokuwa%20Jannah