Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > 002-Al-Baqarah: Aayah Na Mafunzo > 201-Aayah Na Mafunzo: Miongoni Du’aa Alizokuwa Akiomba Sana Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam)

201-Aayah Na Mafunzo: Miongoni Du’aa Alizokuwa Akiomba Sana Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam)

Aayah Na Mafunzo

Al-Baqarah

 

Miongoni Mwa Du’aa Alizokuwa Akiomba Sana Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)

 

www.alhidaaya.com [1]

 

 

 وَمِنْهُم مَّن يَقُولُ رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الْآخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ النَّارِ ﴿٢٠١﴾

201. Na miongoni mwao kunawasemao: “Rabb wetu Tupe katika dunia mazuri na katika Aakhirah mazuri na Tukinge na adhabu ya moto.”

 

 

Mafunzo:

 

 عَنْ أَنَسٍ ‏ رضى الله عنه ‏ قَالَ: كَانَ أَكْثَرُ دُعَاءِ رَسُولِ اَللَّهِ  صلى الله عليه وسلم: ((رَبَّنَا آتِنَا فِي اَلدُّنْيَا حَسَنَةً, وَفِي اَلْآخِرَةِ حَسَنَةً, وَقِنَا عَذَابَ اَلنَّارِ)) مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ.‏

Imepokelewa kutoka kwa Anas (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akiomba sana du’aa: ((Rabbanaa Aatinaa fid-duniya hasanatan wa fil-Aakhirati hasanatan wa Qinaa ‘adhaaban-naar))  [Al-Bukhaariy na Muslim]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7996

Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7996&title=201-Aayah%20Na%20Mafunzo%3A%20Miongoni%20Du%E2%80%99aa%20Alizokuwa%20Akiomba%20Sana%20Nabiy%20%28Swalla%20Allaahu%20%27alayhi%20wa%20sallam%29%20