Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > 003-Aal-'Imraan: Aayah Na Mafunzo > 123-Aayah Na Mafunzo: Maana Ya Badr

123-Aayah Na Mafunzo: Maana Ya Badr

Aayah Na Mafunzo

Aal-‘Imraan

 Maana Ya Badr

Alhidaaya.com [1]

Anasema Allaah ('Azza wa Jalla):

 

وَلَقَدْ نَصَرَكُمُ اللَّـهُ بِبَدْرٍ وَأَنتُمْ أَذِلَّةٌ ۖ فَاتَّقُوا اللَّـهَ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ ﴿١٢٣﴾

123. Kwa yakini Alikunusuruni Allaah katika Badr na hali nyinyi mlikuwa (kikosi) dhaifu. Basi mcheni Allaah mpate kushukuru.

 

Mafunzo:

 

Maana Ya Badr:

‘Ulamaa wametofautiana kuhusu maana ya jina hili ‘Badr’. Baadhi yao wamesema ni jina la mtu, na wengine wamesema ni jina la kisima. Sehemu hiyo iko baina ya Makkah na Madiynah, na umbali kati yake na Madiynah ni kilometa 150. Na Allaah ni Mjuzi zaidi

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8151

Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8151&title=123-Aayah%20Na%20Mafunzo%3A%20Maana%20Ya%20Badr