Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Du'aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) > 014-Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Kuhesabiwa Hesabu Nyepesi Siku Ya Qiyaamah

014-Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Kuhesabiwa Hesabu Nyepesi Siku Ya Qiyaamah

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

Kuomba Kuhesabiwa Hesabu Nyepesi Siku Ya Qiyaamah

 

 Alhidaaya.com [1]

 

 

اللَّهُمَّ حَاسِبْنِي حِسَابًا يَسِيرًا

Allaahumma haasibniy hisaaban -yasiyraa

 

Ee Allaah nihesabie hisabu iliyo nyepesi  

 

Hadiyth ya ‘Aaishah (رضي الله عنها) alimuuliza Rasuli wa Allaah (سبحانه وتعالى) alipomaliza kuisoma du’aa katika Swalaah: “Ipi hesabu iliyo nyepesi?” Akasema: ((Kwamba [Allaah] Atatazama kitabu chake [kilichorekodiwa ‘amali] kisha Amsamehe kwani hakika mwenye kuhojiwa hesabu siku hiyo ee ‘Aaishah ameangamia, na kila kinachomsibu Muumini Allaah عز وجل  Humfutia ([dhambi] japo ikiwa ni mwiba umchomao)) [Imaam Ahmad]

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8285

Links
[1] http://alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8285&title=014-Du%E2%80%99aa%20Za%20Nabiy%20%28%D8%B5%D9%84%D9%89%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%20%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%20%D9%88%D8%A2%D9%84%D9%87%20%D9%88%D8%B3%D9%84%D9%85%29%3A%20Kuhesabiwa%20Hesabu%20Nyepesi%20Siku%20Ya%20Qiyaamah