Mtoto Anawajibika Kufunga Swiyaam?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Ipi hukumu Swawm ya mtoto?
JIBU:
Swawm ya mtoto kama tulivyosema, ni mustahab (imependekezwa) na si waajib. Mtoto akifunga, anapewa thawabu; na ikiwa ataacha kufunga, hapati dhambi. Hata hivyo, inatakikana kwa mlezi wake kumuamrisha kufunga ili azowee.
[Fataawaa fiy Ahkaam Asw-Swiyaam, uk. 84]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8387&title=12-Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Mtoto%20Anawajibika%20Kufunga%20Swiyaam%3F