Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Fataawaa: 'Itikaaf (Kubakia Msikitini Kufanya 'Ibaadah) > 01- Imaam Ibn Baaz na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn : Nini Maana Ya ‘Itikaaf?

01- Imaam Ibn Baaz na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn : Nini Maana Ya ‘Itikaaf?

Nini Maana Ya ‘Itikaaf?

 

 Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [1]

 

 

Maana ya Mu’takif:  Mwenye kuingia katika niyyah ya I’tikaaf.

 

1. Nini Maana Ya ‘Itikaaf?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Ni kujiweka faragha kwa ajili ya ‘ibaadah na kujipwekesha kwa Allaah kwayo. Na hii ndio kujipwekesha ki-shariy’ah. Na wengineo wakasema kuhusu maana ya I’tikaaf ni kukata mahusiano na kila kiumbe kwa yale yanayohusiana na kuwahudumia viumbe.

 

 

[Majmu’w Al-Fataawaa (15/438)]

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

I’tikaaf ni mtu kujilazimisha kubakia Msikitini kwa ajili ya utiifu kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa), ili ajitenge na watu na ashughulike katika utiifu kwa Allaah na ajiweke faragha nayo. 

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/155)] 

 

 

Share [2]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8575

Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8575&title=01-%20Imaam%20Ibn%20Baaz%20na%20Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%20%3A%20Nini%20Maana%20Ya%20%E2%80%98Itikaaf%3F