Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Hadiyth Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah - أحاديثُ عَنْ فضْل لا إلَهَ إلاَّ الله > 03-Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah: Atakayefariki Akiwa Anajua Kwamba Laa Ilaaha Illa Allaah Ataingia Jannah

03-Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah: Atakayefariki Akiwa Anajua Kwamba Laa Ilaaha Illa Allaah Ataingia Jannah

Hadiyth Kuhusu Fadhila Za Laa Ilaaha Ila Allaah

 

 

03-Atakayefariki Akiwa Anajua Kwamba Laa Ilaaha Illa Allaah Ataingia Jannah

 

 

 عَنْ عُثْمَانَ بِنْ عَفَّان رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: ((مَنْ مَاتَ وَهُوَ يَعْلَمُ  أَنَّهُ لَا إِلَهَ إِلَّا اللَّهُ دَخَلَ الْجَنَّةَ))

Imepokelewa kutoka kwa ‘Uthmaan bin ‘Afaan (رضي الله عنه) amesema:  Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Atakayefariki akiwa anajua kwamba: laa ilaaha illa Allaah – hapana muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah ataingia Jannah)). [Muslim]

 

 

Share [1]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8873

Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8873&title=03-Fadhila%20Za%20Laa%20Ilaaha%20Illa%20Allaah%3A%20Atakayefariki%20Akiwa%20Anajua%20Kwamba%20Laa%20Ilaaha%20Illa%20Allaah%20Ataingia%20Jannah