Hadiyth Kuhusu Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah
12-Miongoni Mwa Mambo Matano Yatakayokuwa Mazito Katika Mizani Siku Ya Qiyaamah
عن ثوبان رضي الله عنه قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : ((بَخٍ بَخٍ لِخمسٍ ما أثقلَهُنَّ في الميزانِ : لا إلهَ إلَّا اللهُ، وسبحانَ اللهِ، والحمدُ للهِ ، واللهُ أكبرُ، والولَدُ الصالِحُ يُتوَفَّى للمرْءِ المسلِمِ فيَحتَسِبُهُ)) النسائي وابن حبان والحاكم ، وأحمد ، وصححه الألباني في صحيح الترغيب والجامع
Imetoka kwa Thuwbaan (Radhwiya Allaahu 'anhu) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Heko heko kwa vitu vitano, uzito gani vitakavyokuwa katika Mizani; Laa Ilaah Illa Allaah, Wa-Allaahu Akbar, Wa Subhaanah-Allaah, Wa-AlhamduliLLah, na mtoto mwema atakayekufa na wazazi wake wanatarajia thawabu kutoka kwa Allaah)) [An-Nasaaiy, Ibn Hibbaan, Al-Haakim, Ahmad, na kaisahihisha Al-Albaaniy katika: Swahiyh At-Targhiyb (1557), Swahiyh Al-Jaami'(2817)]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8965&title=12-Fadhila%20Za%20Laa%20Ilaaha%20Illa%20Allaah%3A%20Miongoni%20Mwa%20Mambo%20Matano%20Yatakayokuwa%20Mazito%20Katika%20Mizani%20Siku%20Ya%20Qiyaamah