Miongoni Mwa Alama Za Watu Wa Bid’ah Ni Taasubu (Kasumba) Na Kupinga Haki
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
“Ahlul-Bid’ah (watu wa bid’ah) wana alama kadhaa; miongoni mwazo ni kwamba wana taasubu (kasumba) katika rai zao wala hawarudi katika haki hata kama itawabainikia.”
[Majmuw’ Fataawaa wa Rasaail Ibn ‘Uthaymiyn (5/90)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10817&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Miongoni%20Mwa%20Alama%20Za%20Watu%20Wa%20Bid%E2%80%99ah%20Ni%20Taasubu%20%28Kasumba%29%20Na%20Kupinga%20Haki