SWALI:
Asalam alaikum warahmatul Allah wabarakat.
Mimi ni kijana wa kiislam ninaishi
Ahsanten, Nakutakieni kazi njema na inshhaallah awalipe ujira ulio mwema kwa jihan yenu.
Assallam alaikum warrahmatullahi wabarakat
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘Alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Shukrani zetu za dhati kwa swali lako kuhusu sifa zinazohitajika katika kuchagua mke. Uislamu ikiwa ndiyo Dini ya kimaumbile imetupatia muongozo katika kila nyanja ya maisha pamoja na kuchagua mke, ambaye ni mshirika wa mwanaume wa maisha. Miongoni mwa sifa zinazohitajika katika kuchagua mke ni:
Hata hivyo, muhimu zaidi ni Dini na ikiwa ana sifa nyingine ziwe ni baada ya hiyo sifa ya kwanza.
Bonyeza viungo vifuatavyo upate maelezo zaidi:
Sifa Gani Za Kutafuta Mke? [2]
Na Allaah Anajua zaidi.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/110
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/689
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4680&title=Sifa%20za%20Mke%20Bora%20%28Kielelezo%29