Hatukuletwa Duniani Kuishi Kama Wanyama
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema:
"Hatukuja kuishi katika haya maisha ya dunia kama wanavyoishi wanyama; tule, tunywe na kulala tu. Bali, tumekuja hapa duniani ili kujiandaa na kutanguliza ('amali za) Aakhirah."
[Sharh Al-Kaafiyah Ash-Shaafiyah Fiy Intiswaar Lil Firqat An-Naajiyah, 4/379]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/229
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F6950&title=Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Hatukuja%20Hapa%20Kuishi%20Kama%20Wanyama