Asiolewe Mwanamke Mpaka Aache Kufanya Kazi
Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Aliulizwa Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah):
"Je, mwenye kuposa anaweza kumuomba mwanamke ambaye anataka kumposa kuacha kufanya kazi?"
Akajibu:
"Mwenye kuposa hana jukumu hilo juu yake. Hata hivyo, asimuoe ikiwa kama anafanya kazi nje ya nyumba (yake). Haijuzu kwako kumposa na kumuoa ikiwa anafanya kazi nje ya nyumbani kwake."
[Silsilat Al-Hudaa Wa An-Nuwr, kanda namba 174]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/207
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7230&title=Imaam%20Al-Albaaniy%3A%20Asiolewe%20Mwanamke%20Hadi%20Aache%20Kufanya%20Kazi