‘Awrah Ya Mwanamke Mbele Ya Mahaarim Wake
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Kipi kiasi kinachochukuliwa kuwa ni 'awrah kwa mwanamke awapo na wajomba zake kwa upande wa mama, wajomba zake upande wa baba na ndugu zake, nyumbani?
JIBU:
Anaruhusiwa kuonyesha kwa Mahram wake: uso, kichwa, shingo, mikono, miguu, chini ya muundi, na anapaswa kusitiri kila kitu mbali na hivyo tulivyotaja.
[Imaam Muhammad bin Swaalih Al-‘Uthaymiyn - Hijaab Al-Mar-ah wa ziynatuhaa, ukurasa wa 43]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7599&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Awrah%20Ya%20Mwanamke%20Mbele%20Ya%20Mahaarim%20Wake