‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu
Imaam Maalik (Rahimahu Allaah)
Amesema Imaam Maalik (Rahimahu Allaah):
“Ilmu isichukuliwe kutoka kwa watu wa aina nne:
Mjinga anayefanya ujinga wake hadharani, hata kama amesimulia riwaya nyingi;
Na Mzushi anayelingania katika matamanio yake;
Na mtu anapoongea na watu husema uongo, hata kama simtuhumu kusema uongo katika Hadiyth;
Na mja mwema mfanya 'ibaadah sana ambaye hakumbuki (haihifadhi) anachokisimulia (katika Hadiyth)."
[Siyar A’laam An-Nubalaa (7/163)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/223
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8980&title=Imaam%20Maalik%3A%20%E2%80%98Ilmu%20%28Elimu%29%20Isichukuliwe%20Kutoka%20Kwa%20Aina%20Nne%20Za%20Watu