Mipaka Ya Kumkhofu Allaah Ni Kujizuia Kutenda Madhambi
Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah)
Imaam Ibn Al-Qayyim amesema:
“Nilimsikia Shaykhul-Islaam Ibn Taymiyyah akisema: “Mipaka ya khofu ni lenye kukuzuia kumuasi Allaah, kwa hiyo mengineyo zaidi ya hivyo hayahitajiki.”
[Jaami’ Al-Adaab (1/348)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/227
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9569&title=Imaam%20Ibn%20Taymiyyah%3A%20Mipaka%20Ya%20Kumkhofu%20Allaah%20Ni%20Kujizuia%20Kutenda%20Madhambi