Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب استحباب التوسط في اللباس وَلاَ يقتصر عَلَى مَا يزري بِهِ لغير حاجة وَلاَ مقصود شرعي
05-Mlango Wa Kupendeza Kuwa Kati na Kati Katika Mavazi na Kujiepusha na Mavazi Fulani Bila ya Haja Wala Makusudio ya Kisheria
Alhidaaya.com [1]
عن عمرو بن شعيب ، عن أبيهِ ، عن جَدِّهِ رضي الله عنه، قَالَ: قَالَ رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( إنَّ اللهَ يُحِبُّ أنْ يُرَى أثَرُ نِعْمَتِهِ عَلَى عَبْدِهِ )) رواه الترمذي ، وقال : (( حديث حسن )) .
Imepokewa kutoka kwa 'Amru bin Shu'ayb (Radhwiya Allaahu 'anhu) kutoka kwa baba yake kutoka kwa babu yake kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Hakika Allaah anapenda kuona athari ya neema Yake kwa mja Wake." [At-Tirmidhiy, na akasema Hadiyth Hasan]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11009&title=05-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kupendeza%20Kuwa%20Kati%20na%20Kati%20Katika%20Mavazi%20na%20Kujiepusha%20na%20Mavazi%20Fulani%20Bila%20ya%20Haja%20Wala%20Makusudio%20ya%20Kisheria