Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب استحباب السلام إِذَا دخل بيته
05-Mlango Wa Kupendeza Kutoa Salamu Unapoingia Nyumbani
Alhidaaya.com [1]
قَالَ الله تَعَالَى:
فَإِذَا دَخَلْتُم بُيُوتًا فَسَلِّمُوا عَلَىٰ أَنفُسِكُمْ تَحِيَّةً مِّنْ عِندِ اللَّـهِ مُبَارَكَةً طَيِّبَةً ۚ ﴿٦١﴾
Mtakapoingia majumbani toleaneni salaam; maamkizi kutoka kwa Allaah, yenye Baraka, mazuri. [An-Nuwr: 61]
وعن أنسٍ رضي الله عنه ، قَالَ : قَالَ لي رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( يَا بُنَيَّ ، إِذَا دَخَلْتَ عَلَى أهْلِكَ ، فَسَلِّمْ ، يَكُنْ بَرَكَةً عَلَيْكَ ، وعلى أهْلِ بَيْتِكَ )) رواه الترمذي ، وقال : (( حديث حسن صحيح )) .
Imepokewa kutoka kwa Anas (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Ee mtoto wangu! Unapoingia kwa familia yako basi watolee salamu na hiyo itakuwa ni baraka kwako na kwa watu wa nyumbani kwako." [At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan Swahiyh].
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11026&title=05-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Kupendeza%20Kutoa%20Salamu%20Unapoingia%20Nyumbani