Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب مَا يدعو بِهِ إِذَا خاف ناساً أَوْ غيرهم
08-Mlango Wa Duaa Atakayoomba Mtu Pindi Akiwaogopa Watu au Wengineo
Alhidaaya.com [1]
عن أَبي موسى الأشعريِّ رضي اللهُ عنه: أنَّ رسولَ الله صلى الله عليه وسلم كَانَ إِذَا خَافَ قَوْماً، قَالَ : (( اللَّهُمَّ إنَّا نَجْعَلُكَ في نُحُورِهِمْ ، وَنَعُوذُ بِكَ مِنْ شُرُورِهِمْ )) رواه أَبُو داود والنسائي بإسنادٍ صحيحٍ .
Imepokewa kutoka kwa Abuu Muwsaa Al-Ash'ariy (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akiwaogopa watu anasema: "Ee Rabb wangu wa haki hakika sisi tunakuweka shingoni mwao na tunataka hifadhi Kwako na shari zao." [Abu Daawuwd na An-Nasaaiy kwa Isnaad iliyo Swahiyh]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11082&title=08-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Duaa%20Atakayoomba%20Mtu%20Pindi%20Akiwaogopa%20Watu%20au%20Wengineo