Swahiyh Fiqh As-Sunnah
كِتَابُ الأَطْعِمَةِ وَالأَشْرِبةِ وَمَا يَتَعَلَّقُ بِهِمَا
Kitabu Cha Vyakula Na Vinywaji Na Yanayohusiana Na Viwili Hivi
Alhidaaya.com [1]
Adabu Za Kula
020-Kula Toka Pembezoni Mwa Chakula Na Si Kutoka Katikati Yake
4- Kula Toka Pembezoni Mwa Chakula Na Si Kutoka Katikati Yake
Toka kwa Ibn ‘Abbaas (Radhwiya Allaah ‘anhumaa) toka kwa Rasuli (Swalla Allaah ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:
"الْبَرَكَة تَنْزِلُ فِيْ وَسَطِ الطَّعَامِ ، فَكُلُوا مِنْ حَافَتَيْهِ ، وَلاَ تَأْكُلُوا مِنْ وَسَطِهِ"
“Baraka inateremka katikati ya chakula, basi kuleni toka pambizo zake, na msile toka katikati yake”. [Hadiyth Swahiyh. Imekharijiwa na Abu Daawuwd (3772), Ibn Maajah (3277) na Ahmad (1/343-345)].
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11179&title=020-Swahiyh%20Fiqh%20As-Sunnah%3A%20Kitabu%20Cha%20Vyakula%20Na%20Vinywaji%3A%20Kula%20Toka%20Pembezoni%20Mwa%20Chakula%20Na%20Si%20Kutoka%20Katikati%20Yake