Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب فضل الصوم وغيره في العشر الأول من ذي الحجة
47-Mlango Wa Fadhila za Funga na Nyenginezo katika Kumi la Kwanza la Mwezi wa Dhul Hijjah
Alhidaaya.com [1]
وعن ابن عباس رضي الله عنهما ، قَالَ : قَالَ رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( مَا مِنْ أيَّامٍ ، العَمَلُ الصَّالِحُ فِيهَا أحَبُّ إِلَى اللهِ مِنْ هذِهِ الأَيَّام )) يعني أيام العشر . قالوا : يَا رسولَ اللهِ ، وَلاَ الجِهَادُ في سَبيلِ اللهِ ؟ قَالَ : (( وَلاَ الجِهَادُ فِي سَبِيلِ اللهِ ، إِلاَّ رَجُلٌ خَرَجَ بِنَفْسِهِ وَمَالِهِ ، فَلَمْ يَرْجِعْ مِنْ ذَلِكَ بِشَيءٍ )) رواه البخاري .
Imepokewa kutoka kwa Ibn 'Abbaas (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) kuwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Hakuna siku yeyote ambayo matendo mema humpendezea zaidi Allaah kuliko ndani ya siku hizi", yaani anakusudia siku kumi (za mwanzo za mwezi wa Dhul Hijjah). Wakasema: "Ee Rasuli wa Allaah, wala Jihadi katika njia ya Allaah?" Akasema: "Wala Jihadi katika njia ya Allaah isipokuwa mtu ametoka pamoja na nafsi na mali yake halafu asirudi na chochote." [Al-Bukhaariy]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11227&title=47-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Fadhila%20za%20Funga%20na%20Nyenginezo%20katika%20Kumi%20la%20Kwanza%20la%20Mwezi%20wa%20Dhul%20Hijjah