Riyaadhw Asw-Swaalihiyn
باب مَا يقوله عِنْدَ نومه واستيقاظه
03-Mlango Wa Anachosema Wakati wa Kulala na Kuamka
Alhidaaya.com [1]
عن حُذَيفَةَ ، وأبي ذرٍ رضي الله عنهما ، قالا : كَانَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم إِذَا أوَى إِلَى فِرَاشِهِ ، قَالَ : (( بِاسْمِكَ اللَّهُمَّ أَحْيَا وَأموتُ )) وَإذَا اسْتَيقَظَ قَالَ : (( الحَمْدُ للهِ الَّذِي أَحْيَانَا بعْدَ مَا أماتَنَا وإِلَيْهِ النُّشُورُ )) . رواه البخاري .
Wamesema Hudhayfah na Abu Dharr (Radhwiya Allaahu 'anhumaa): Alikuwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) anapojilaza kwenye godoro husema: "Bismika Allaahumma amuwtu wa ahyaa (Kwa jina lako, ee Rabb wangu! Ninakufa na kubaki hai)." Na anapoamka husema: "AlhamduliLLaahi ahyaanaa ba'ada maa amaatanaa wa ilayhin Nushuwr (Sifa zote njema anastahiki Allaah ambaye Ametuhuisha baada ya kutufisha na Kwake Tutarudi)." [Al-Bukhaariy]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F11247&title=03-Riyaadhw%20Asw-Swaalihiyn%3A%20Mlango%20Wa%20Anachosema%20Wakati%20wa%20Kulala%20na%20Kuamka