Je, Yafaa kusoma Qur’an Makaburini?
Hili ambalo halikufanywa na Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam), hakuliamrisha lakini aliamrisha tu kusomwa dua na kuwaombea maghfira kwa Mwenyezi Mungu. Hakupenda watu wasome Qur’an makaburini kwa hadithi yake aliyosema, “Msizifanye nyumba zenu makaburi, kwani shetani hukimbia na huchukizwa na nyumba ambayo itasomwa
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1539&title=60-Dalili%20Za%20Kheri%20Katika%20Mambo%20Yamfaayo%20Maiti%3A%20Je%2C%20Yafaa%20kusoma%20Qur%E2%80%99an%20Makaburini%3F