Haipasi kusema "Ujaaliwe watoto wengi wa kiume"
عَنِ الْحَسَنِ قَالَ: تَزَوَّجَ عَقِيلُ بْنُ أَبِي طَالِبٍ امْرَأَةً مِنْ بَنِي جَثمٍ فدخل عليه القوم، فقالوا "بِالرِّفَاءِ وَالْبَنِينِ" فقَالَ: لا تفعلوا ذلك [فإن رسول الله صلى الله عليه وسلم نهى عن ذلك]، قَالُوا فَمَا نَقُول يآ أبا زَيْد؟ قَال: قُولُوا( كَمَا قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم): ((بَارَكَ اللَّهُ فِيكُمْ وَبَارَكَ لَكُمْ)). ( إنا كذلك كنا نؤمر)
Imetoka kwa Al-Hasan رضي الله عنه kwamba 'Uqayl ibn Abi Twaalib alimuoa mwanamke kutoka kabila la Jathm. Watu walikuja nyumbani kwake na wakasema: "Ujaaliwe kupata watoto wengi wa kiume". 'Uqayl akawaambia: 'Msifanye hivyo, kwani Mtumeصلى الله عليه وآله وسلم amekataza hivyo'. Wakasema: Sasa tuseme nini ewe Abu Zayd? Akasema: Semeni kama alivyosema Mtume صلى الله عليه وآله وسلم ((Allaah Akubariki na Ateremshe Baraka juu yenu)). (Hivyo ndivyo tulivyoamrishwa kusema)"[1]
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/sw/modules/fckeditor/fckeditor/editor/fckeditor.html?InstanceName=edit-body&Toolbar=Default#_ftnref1
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1613&title=37-Adabu%20Za%20Ndoa%20Katika%20Sunnah%20Iliyotakasika%3A%20Kuwaombea%20Bwana%20Harusi%20Na%20Bibi%20Harusi%20Watoto%20Wengi%20%28Wa%20Kiume%29%20Ni%20Msemo%20Katika%20Ada%20Ya%20Ujahiliya%20%28Kabla%20Ya%20Uislam%29%20