9- SWALAH ZA 'IYD MBILI
"Alikuwa (صلى الله عليه وآله وسلم)akisoma (mara nyingine) katika Rakaa ya kwanza
سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى
((Litakase jina la Mola wako Aliye juu kabisa)) [Al-A'laa 87: 19], na katika Rakaa ya pili:
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ
((Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?)) [88: 26] [1]. Na mara nyingine "alikuwa akisoma katika hizo Rakaa mbili:
ق وَالْقُرْآنِ الْمَجِيدِ
((Qaaf, Naapa kwa Qur-aan Tukufu))[Qaaf 50: 45], na
اقْتَرَبَتِ السَّاعَةُ وَانشَقَّ الْقَمَرُ
((Saa imekaribia na mwezi umepasuka)) [Al-Qamar 54: 55][2].
Links
[1] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F3288&title=029-Sifa%20Ya%20Swalah%20Ya%20Mtume%20%28Swalla%20Allaahu%20%27Alayhi%20Wa%20Aalihi%20Wa%20Sallam%29%3A%20Kisomo%20Chake%20%28%D8%B5%D9%84%D9%89%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%20%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%20%D9%88%D8%A2%D9%84%D9%87%20%D9%88%D8%B3%D9%84%D9%85%29%20Katika%20Swalah%20Za%20%27Iyd%20Mbili%20-%20Sifa%20Ya%20Swalah%20Ya%20Mtume