Swahiyh Fiqh As-Sunnah
Mlango Wa Swalaah
009-Adhana Na Iqaamah
Alhidaaya.com [1]
Taarifu:
[Al-Lisaan, Al-Miswbaahul Muniyr, Sharhu Muntahaa Al-Iraadaat (1/122) na Al-Mumti’i (35-36)]
Maana ya adhana kilugha ni kutangaza. Allaah Anasema:
((وَأَذِّن فِي النَّاسِ بِالْحَجِّ))
((Na tangaza kwa watu Hajj)) [Al-Hajji (27:22)]
Ama kisharia, ni kutaabudia kwa Allaah Mtukufu kwa kutangazia kuingia wakati wa Swalaah kwa utajo maalumu.
Iqaamah kilugha, ni kisoukomo cha kitenzi ((أقام)) kutokana na sentensi ya أقام الشيء , anapokinyoosha mtu kitu kikanyooka. Pia neno hili lina maana nyinginezo kama kutulia, kudhihirisha na kuita. Ama kishariah, ni kutaabudia kwa Allaah kwa ajili ya kusimama na kuswali kwa utajo maalumu.
Links
[1] http://www.alhidaaya.com/
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9691&title=009-Swahiyh%20Fiqh%20As-Sunnah%3A%20Mlango%20Wa%20Swalaah%3A%20Adhana%20Na%20Iqaamah