Haijuzu Kusema Ilaahi Anta Jaahiy “Mwabudiwa Wangu Wewe Ni Jaha Yangu”
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Nini hukmu ya kusema:
إلاهي أنت جاهي؟
“Ilaahi Anta Jaahiy” (Ee Mwabudiwa Wangu, Wewe Ni Jaha Yangu)
JIBU:
Haifai kutumia kauli hiyo, kwa sababu maana ya neno hilo ni: “Wewe ni muombezi Wangu, sasa muombezi wako kwa nani?”
[Fataawaa Muhammad bin Swaalih Al-‘Uthaymiyn: Al-Kanz Ath-Thamiyn (Uk 12)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10773&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Haijuzu%20Kusema%20Ilaahi%20Anta%20Jaahiy%20%E2%80%9CMwabudiwa%20Wangu%20Wewe%20Ni%20Jaha%20Yangu%E2%80%9D