SWALI:
asalam aleykum.kwanza kabisa namishukuruni kwa kutusaidia na kutujibu maswali yetu yanayo tupa matata.Mungu amijalie kila la kheri.swali langu mimi nikiwa na udhuu halafu nikikata kata nyama ina damu je udhuu wangu ninao?au mpaka nitawadhe tena?
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu 'anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho
Tumepokea Swali lako na jibu ni kwamba kukata nyama damu ikakakugusa sio jambo la kuvunja wudhuu.
Ingia katika viungo vifuatavyo ambavyo vina maelezo kamili ya yale yanayovunja wudhuu.
026 Yanayotengua Wudhuu -1 [2]
027 Yanayotengua Wudhuu - 2 [3]
028 Yanayotengua Wudhuu - 3 [4]
029 Yanayotengua Wudhuu - 4 [5]
031- Wudhuu Unapasa Kwa Ajili Ya Swalah Basi Na Si Vinginevyo [7]
Na Allaah Anajua zaidi
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/138
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/2037
[3] http://www.alhidaaya.com/sw/node/2073
[4] http://www.alhidaaya.com/sw/node/2111
[5] http://www.alhidaaya.com/sw/node/2448
[6] http://www.alhidaaya.com/sw/node/2454
[7] http://www.alhidaaya.com/sw/node/2497
[8] http://www.alhidaaya.com/sw/node/374
[9] http://www.alhidaaya.com/sw/node/381
[10] http://www.alhidaaya.com/sw/node/382
[11] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1821&title=Wudhuu%20Unatenguka%20Ukishika%20Damu%20Wakati%20Wa%20Kukata%20Nyama%3F%20