Bajia Za Bilingani Na Sosi Ya Kijani
Vipimo
Bilingani - 2 ya kiasi
Unga mweupe - ½ kikombe
Unga we semolina - ½ kikombe
kitunguu saumu(thomu/galic) kilosagwa - 1 kijiko cha chai
Vitunguu vya majani (spring onions) katakata - ½ kikombe (chopped)
Pilipili manga - ½ cha chai
Haldi (bizari manjano/tumeric) - ½ kijiko cha chai
Chumvi - kiasi
*Sosi ya kijani ya kikolezo (seasoning) - 1 kijiko cha supu
Maji ya kuchanganyishia - kiasi
Mafuta ya kukaangia - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika:
Bonyeza kiungo upate sosi za kulia bajia:
Sosi Ya Ukwaju [2]
Chatine Ya Mtindi Na Nanaa [3]
*Sosi Ya Kijani Ya Kukoleza (Green Seasoning)
Vipimo:
Vitunguu vya majani (spring onions) - 1 msongo
Figili mwitu (celery) - 2 miche
Kotmiri (coriander) - ½ kikombe
Pilipili mbichi - 3
Chumvi - kiasi
Namna Ya Kutayarisha
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/46
[2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/2954
[3] https://www.alhidaaya.com/sw/node/2953
[4] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4525&title=Bajia%20Za%20Bilingani%20Na%20Sosi%20Ya%20Kijani