Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Du'aa Ya Tashahhud Katika Swalaah Ipi Sahihi?

Du'aa Ya Tashahhud Katika Swalaah Ipi Sahihi?

Maswali: Surah-Du'aa [1]

Duaa Ya Tashahhud Katika Swalaah Ni Ipi Sahihi?

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

 

 

SWALI:

 

Assalamu alykum,
tulifundishwa madrasa kusema (attahiyatu, almubarakatu, aswalawatu,
atwayibathu lillah....) je hivi ni makosa, maana maagizo yanasema

(atahiyatu lillah, waswalawatu, watwayibatu..)

 

JIBU:

 

AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na salamu zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho.

 

 

At-Tashahhud katika Swalaah ziko aina kadhaa. Hivyo ulivyotaja huenda umekosea katika kuzitamka kwa hiyo ingia katika viungo vifuatavyo upate maelezo yake kwa maandishi na kwa kusikiliza ili uweze kujifunza kuzitamka kwa usahihi:

022-Hiswnul-Muslim: Du’aa Ya Tashahhud [3]

 

023-Hiswnul-Muslim :Kumswalia Nabiy Muhammad (صلى الله عليه وآله وسلم) Baada Ya Tashahhud [4]

 

Zimetajwa pia katika Swiffatusw-Swalaah ya Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu-Allaah) ambazo zinapatikana katika viuongo vifuatavyo:

 

043-Sifa Ya Swalah Ya Mtume (Swalla Allaahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam): Tahiyyaatu (Tashahhud) Ya Kwanza [5]

 

 

044-Sifa Ya Swalah Ya Mtume (Swalla Allaahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam): Kutikisa Kidole Kwenye Tashahhud [6]

 

 

045-Sifa Ya Swalah Ya Mtume (Swalla Allaahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam): Wajibu Wa Tashahhud Ya Kwanza Na Hukmu Ya Du'aa Ndani Yake Pamoja Na Matamshi Yake [7]

 

 

046-Sifa Ya Swalah Ya Mtume (Swalla Allaahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam): Kumswalia Mtume Pahala Pake Na Matamshi Yake Mbali Mbali [8]

 

 

047-Sifa Ya Swalah Ya Mtume (Swalla Allaahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam): Faida Muhimu Kuhusu Kumswalia Mtume Wa Ummah ‘Swalaatu 'Alan-Nabbiyy’ (Faida Ya Kwanza Na Ya Pili) [9]

 

048-Sifa Ya Swalah Ya Mtume (Swalla Allaahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam): Faida Muhimu Kuhusu Kumswalia Mtume Wa Ummah ‘Swalaatu 'Alan-Nabbiyy’ - (Faida ya Tatu, Nne, Tano Na Sita) [10]

 

Pia bonyeza kiungo kifuatacho:

 

Na Allaah Anajua zaidi

  

 

Share [11]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/628

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/72
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] http://www.alhidaaya.com/sw/node/9753
[4] http://www.alhidaaya.com/sw/node/9754
[5] http://www.alhidaaya.com/sw/node/4159
[6] http://www.alhidaaya.com/sw/node/4179
[7] http://www.alhidaaya.com/sw/node/4184
[8] http://www.alhidaaya.com/sw/node/4198
[9] http://www.alhidaaya.com/sw/node/5032
[10] http://www.alhidaaya.com/sw/node/5033
[11] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F628&title=Du%27aa%20Ya%20Tashahhud%20Katika%20Swalaah%20Ipi%20Sahihi%3F