Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Taymiyyah: Nani Mwenye Akili?

Imaam Ibn Taymiyyah: Nani Mwenye Akili?

Kauli Za Salaf: Taqwa-Ikhlaasw [1]
 

 Nani Mwenye Akili?

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

Shaykh Al-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:

 

 

"Haitwi 'Mwenye Akili' isipokuwa yule mwenye kuijua khayr akaitaka, na akaijua shari akaiacha.
Na kwa hivyo, walisema watu wa Motoni:

وَقَالُوا لَوْ كُنَّا نَسْمَعُ أَوْ نَعْقِلُ مَا كُنَّا فِي أَصْحَابِ السَّعِيرِ﴿١٠﴾

  Na watasema: “Lau tungelikuwa tunasikiliza au tunatia akilini, tusingelikuwa katika watu wa motoni.”  [Al-Mulk: 10]

 

 

[Al-Fataawa, juz. 7, uk. 24]

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7147

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/229
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7147&title=Imaam%20Ibn%20Taymiyyah%3A%20Nani%20Mwenye%20Akili%3F