Dalili Elfu Hazimtoshi Mtu Wa Matamanio na Bid'ah
Imaam Al-Albaniy (Rahimahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) amesema:
"Mtu anayeitafuta Haki, basi dalili moja (kutoka katika Qur-aan au Sunnah) inamtosha. Wakati mtu mwenye kuyaendekeza matamanio (Hawaa) basi hata dalili elfu moja hazitomtosheleza (kumkinaisha na kuzifuata). Mjinga hufunzwa, na mwenye Matamanio ya nafsi hatuna njia juu yake.”
[Al-Haaiyyah ya Abiy Daawuwd]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/273
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7232&title=Imaam%20Al-Albaaniy%3A%20Dalili%20Elfu%20Hazimtoshi%20Mtu%20Wa%20Matamanio%20na%20Bid%27ah