Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Al-Albaaniy: Dalili Elfu Hazimtoshi Mtu Wa Matamanio na Bid'ah

Imaam Al-Albaaniy: Dalili Elfu Hazimtoshi Mtu Wa Matamanio na Bid'ah

Kauli Za Salaf: Firaq (Makundi) [1]

 

Dalili Elfu Hazimtoshi Mtu Wa Matamanio na Bid'ah

 

Imaam Al-Albaniy (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

 

Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Mtu anayeitafuta Haki, basi dalili moja (kutoka katika Qur-aan au Sunnah) inamtosha. Wakati mtu mwenye kuyaendekeza matamanio (Hawaa) basi hata dalili elfu moja hazitomtosheleza (kumkinaisha na kuzifuata). Mjinga hufunzwa, na mwenye Matamanio ya nafsi hatuna njia juu yake.”

 

 

[Al-Haaiyyah ya Abiy Daawuwd]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7232

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/273
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7232&title=Imaam%20Al-Albaaniy%3A%20Dalili%20Elfu%20Hazimtoshi%20Mtu%20Wa%20Matamanio%20na%20Bid%27ah