Hairuhusiwi Kupongezana Kwa Mnasaba Wa Mwaka Mpya Wa Hijri (Kiislamu)
Al-Lajnah Ad-Daaimah
SWALI:
Je, inaruhusiwa kuwapongeza wasio Waislamu kwa mwaka mpya wa kwao wa Gregori.
Na je, kupongezana kwa mwaka wa Kiislamu wa Hijri, na je, kupongezana kwa (sherehe ya) Mawlid?
JIBU:
Hairuhusiwi kupongezana kwa minasaba hiyo yote, kwa sababu haijawekewa shariy'ah kusherehekea (masiku hayo).
Tunamuomba Allaah At-Tawfiyq, na Swalaah na Salaam zimwendee Rasuli wetu Muhammad, familia yake na Maswahaba zake.
[Al-Lajnat Ad-Daaimah Lil-Buhuwth Wal-Ifta, Fatwa namba 20795]
Alhidaaya.com
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/203
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7490&title=Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Maulidi%3A%20Hairuhusiwi%20Kupongezana%20Mwaka%20Mpya%20Wa%20Kiislaam%20Au%20Maulidi