Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Al-Lajnah Ad-Daaimah: Maulidi: Hairuhusiwi Kupongezana Mwaka Mpya Wa Kiislaam Au Maulidi

Al-Lajnah Ad-Daaimah: Maulidi: Hairuhusiwi Kupongezana Mwaka Mpya Wa Kiislaam Au Maulidi

Al-Lajnah Ad-Daaimah [1]

 

Hairuhusiwi Kupongezana Kwa Mnasaba Wa Mwaka Mpya Wa Hijri (Kiislamu)

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

SWALI:

 

Je, inaruhusiwa kuwapongeza wasio Waislamu kwa mwaka mpya wa kwao wa Gregori.

Na je, kupongezana kwa mwaka wa Kiislamu wa Hijri, na je, kupongezana kwa (sherehe ya) Mawlid?

 

 

JIBU:

 

Hairuhusiwi kupongezana kwa minasaba hiyo yote, kwa sababu haijawekewa shariy'ah kusherehekea (masiku hayo).

 

Tunamuomba Allaah At-Tawfiyq, na Swalaah na Salaam zimwendee Rasuli wetu Muhammad, familia yake na Maswahaba zake.

 

 

[Al-Lajnat Ad-Daaimah Lil-Buhuwth Wal-Ifta, Fatwa namba 20795]

 

Alhidaaya.com

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7490

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/203
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7490&title=Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Maulidi%3A%20Hairuhusiwi%20Kupongezana%20Mwaka%20Mpya%20Wa%20Kiislaam%20Au%20Maulidi