Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Baaz: Hukmu Ya Kutikisa Kichwa Wakati Wa Kutoa Salaam

Imaam Ibn Baaz: Hukmu Ya Kutikisa Kichwa Wakati Wa Kutoa Salaam

Imaam Ibn Baaz [1]

Hukmu Ya Kutikisa Kichwa Wakati Wa Kutoa Salaam

 

 www.alhidaaya.com [2]

 

 

Aliulizwa Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah):

 

Kuna baadhi ya watu, wakati wa kutoa salaam baina ya salaam ya kwanza na salaam ya pili (katikati ya salaam) hutikisa kichwa kuelekea chini; je, ni ipi hukmu ya hilo?

 

 

Akajibu kwa kusema:

 

Jambo hilo halina asili na ni makruhu kufanya hivyo kwani hakuna asili (dalili) juu ya hilo.

 

 

[Fataawa Nuurun 'Alaa Ad-Darb, juzuu 9, uk. 29]

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7494

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7494&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Hukmu%20Ya%20Kutikisa%20Kichwa%20Wakati%20Wa%20Kutoa%20Salaam