Maana Ya Al-Kawthar Na Tofauti Yake Na Al-Hawdhw
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu-Allaah)
Swali: Nini maana ya Al-Hawdhw Al-Mawruwd na ipi tofauti kati yake na mto wa Al-Kawthar?
Imaam Ibn Baaz
Maana Ya Al-Kawthar Na Tofauti Yake Na Al-Hawdhw
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu-Allaah)
Swali: Nini maana ya Al-Hawdhw Al-Mawruwd na ipi tofauti kati yake na mto wa Al-Kawthar?
Hukmu Ya Kuua Vidudu Vyenye Madhara Nyumbani Kama: Mende, Mbu, Nzi...
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Je, inajuzu kuua vidudu vinavyopatikana nyumbani kama sisimizi, mende na aina hizo? Na je, kuwaua kuwe kwa maji au kuwaunguza? Na kama haijuzu tufanyeje?
JIBU:
‘Aqiydah Ya Ahlus-Sunnah Wal-Jamaa´ah Kwa Mukhtasari
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Nini ‘Aqiydah ya Ahlus-Sunnah Wal-Jamaa´ah?
JIBU:
Ingelikuwa Maulidi Ni Jambo La Shariy’ah Asingelificha Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Fadhila Za Maiti Kuswaliwa Na Idadi Ya Watu Wengi
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Je, inapokuwa idadi ni kubwa ya wanaomswalia maiti kuna fadhila?
JIBU:
Imethibiti katika Hadyth ya Ibn ‘Abbaas kutoka kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kwamba amesema:
Hukmu Ya Kutikisa Kichwa Wakati Wa Kutoa Salaam
Aliulizwa Shaykh Ibn Baaz (Rahimahu Allaah):
Kuna baadhi ya watu, wakati wa kutoa salaam baina ya salaam ya kwanza na salaam ya pili (katikati ya salaam) hutikisa kichwa kuelekea chini; je, ni ipi hukmu ya hilo?
Lini Huanza Swawm Za Mwezi Wa Al-Muharram Na Je Siku Ngapi Za Swiyaam?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Ni lini huanza Swawm ya mwezi wa Al-Muharram au Swawm ya 'Aashuraa. Je, huanza mwanzo wa Al-Muharram au katikati yake au mwisho wake. Na siku zake za kufunga ni ngapi? Kwani nimesikia kuwa Swawm ya 'Aashuraa huanza tarehe moja Al-Muharram na kuisha tarehe kumi Al-Muharram. Allaah Akuwafikieni.
JIBU:
Haijuzu Kukosa Swalaah Ya Alfajiri Kwa Ajili Ya Kukesha Katika ‘Ibaadah
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema: Haijuzu kukesha hadi kupoteza Swalaah ya Jamaa Alfajirii au kuiswali kwa wakati wake hata kama ni kukesha kwa ajili ya kusoma Qur-aan.
[Al-Fataawaa (10/390)]