Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Al-Qayyim: Elimu Ni Funguo Za Furaha Duniani Na Aakhirah

Imaam Ibn Al-Qayyim: Elimu Ni Funguo Za Furaha Duniani Na Aakhirah

Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah [1]

 

Elimu Ni Funguo Za Furaha Duniani Na Aakhirah

 

Mwenye Kutenda 'Amali Bila Ya Elimu Ni Sawa Na Msafiri Asiyekuwa na Mwongozo.

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

Imaam Ibn Al-Qayyim Al-Jawziyy (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Mwenye kutenda 'amali bila ya elimu ni sawa na  msafiri asiyekuwa na mwongozo. Na inajulikana kuwa kuangamia kwake kuko karibu kuliko kusalimika kwake. Na katika hali za nadra ikiwa atakuwa na usalama, (vitendo vyake) havitoshukuriwa, Bali ni kulaumiwa na wenye akili."

 

 

[Miftaah Daar As-Sa’aadah (229/1)]

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/7573

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/223
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F7573&title=Imaam%20Ibn%20Al-Qayyim%3A%20Elimu%20Ni%20Funguo%20Za%20Furaha%20Duniani%20Na%20Aakhirah%20