Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ahmad: Alivyopambana Na Ibliys Katika Sakaraatul-Mawt!

Imaam Ahmad: Alivyopambana Na Ibliys Katika Sakaraatul-Mawt!

Kauli Za Salaf: Taqwa-Ikhlaasw [1]

 

Imaam Ahmad Bin Hanbal Alivyopambana Na Ibliys Katika Sakaraatul-Mawt!

 

‘Abdullaah Bin Ahmad Bin Hanbal (Rahimahuma-Allaah)

 

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

 

 

‘Abdullaah Ahmad bin Hanbal (Rahimahuma-Allaah) amesema:

 

“Mauti yalipomkaribia baba yangu wakati nimekaa karibu yake, alikuwa akizima na kuamka huku akisema: “Bado! Bado!”

 

Alifanya hivyo mara kwanza kisha tena mara ya pili na mara ya tatu nikamuuliza:  “Ee baba yangu! Unakusudia nini hayo usemayo wakati huu?” Akajibu: “Mwanangu mpenzi! Hutambui, lakini Ibliys aliyelaaniwa alinisimamia miguuni mwangu akijiuma vidole vyake huku akisema: “Ee Ahmad! Umenikwepa (mkamato wangu wa kukupotosha), ndio nikawa namjibu bado! Bado! Mpaka nife.”

 

 

[Hilyatul-Awliyaa (/91830]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8119

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/229
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8119&title=Imaam%20Ahmad%3A%20Alivyopambana%20Na%20Ibliys%20Katika%20Sakaraatul-Mawt%21