Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kusikiliza Nyimbo Baada Ya Swalaah; Je, Swalaah Itakubaliwa?

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kusikiliza Nyimbo Baada Ya Swalaah; Je, Swalaah Itakubaliwa?

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [1]

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kusikiliza Nyimbo Baada Ya Swalaah; Je, Swalaah Itakubaliwa?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

SWALI:

 

Baadhi ya nyakati huwa nasikiliza nyimbo baada ya Swalaah. Mfano huenda kuswali kisha nnapoingia garini husikiliza nyimbo. Je Swalaah yangu itakubaliwa?

 

 

JIBU:

 

Ama kuhusu Swalaah yako ni sahihi. Lakini kusikiliza nyimbo ni haramu. Kwa hiyo inakuwajibika kuacha ee ndugu!  Bali ni bora kwako usikilize Qur-aan au khabari (redioni) ili uokoke na madhambi haya.

 

[Fataawa Kuhusu Swalaah]

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8851

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8851&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Kusikiliza%20Nyimbo%20Baada%20Ya%20Swalaah%3B%20Je%2C%20Swalaah%20Itakubaliwa%3F