Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn Baaz: Kutumia Tasbihi Kuhesabu Adhkaar

Imaam Ibn Baaz: Kutumia Tasbihi Kuhesabu Adhkaar

Imaam Ibn Baaz [1]

Kutumia Tasbihi Kuhesabu Adhkaar

 

Imaam Bin Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya kutumia tasbihi kwa ajili ya kumdhukuru Allaah?

 

 

JIBU:

 

Hatujui dalili yake katika Shariy’ah kutumia shanga kwa ajili ya kusabbih, kwa hiyo ni bora kuacha na kufuata Sunnah ambayo ni kuhesabu kwa kutumia vidole.

 

[Fataawaa Islaamiyyah (8/368)]

 

Tasbihi: Shanga zinazofungwa katika uzi au kamba; kawaida hufungwa ima 33 au 100.

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8853

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8853&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Kutumia%20Tasbihi%20Kuhesabu%20Adhkaar