Kutumia Tasbihi Kuhesabu Adhkaar
Imaam Bin Baaz (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Nini hukmu ya kutumia tasbihi kwa ajili ya kumdhukuru Allaah?
JIBU:
Hatujui dalili yake katika Shariy’ah kutumia shanga kwa ajili ya kusabbih, kwa hiyo ni bora kuacha na kufuata Sunnah ambayo ni kuhesabu kwa kutumia vidole.
[Fataawaa Islaamiyyah (8/368)]
Tasbihi: Shanga zinazofungwa katika uzi au kamba; kawaida hufungwa ima 33 au 100.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8853&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Kutumia%20Tasbihi%20Kuhesabu%20Adhkaar