Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Maalik: ‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu

Imaam Maalik: ‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu

Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah [1]

‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu

 

Imaam Maalik (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

Amesema  Imaam Maalik (Rahimahu Allaah):

 

“Ilmu isichukuliwe kutoka kwa watu wa aina nne:

 

Mjinga anayefanya ujinga wake hadharani, hata kama amesimulia riwaya nyingi;

 

Na Mzushi anayelingania katika matamanio yake;

 

Na mtu anapoongea na watu husema uongo, hata kama simtuhumu kusema uongo katika Hadiyth;

 

Na mja mwema mfanya 'ibaadah sana ambaye hakumbuki (haihifadhi) anachokisimulia (katika Hadiyth)."

 

 

[Siyar A’laam An-Nubalaa (7/163)]

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/8980

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/223
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F8980&title=Imaam%20Maalik%3A%20%E2%80%98Ilmu%20%28Elimu%29%20Isichukuliwe%20Kutoka%20Kwa%20Aina%20Nne%20Za%20Watu