Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Maulidi: Siku Ya Kuzaliwa Nabiy ﷺ Haijulikani

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Maulidi: Siku Ya Kuzaliwa Nabiy ﷺ Haijulikani

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [1]

 

 

 

 

Siku Ya Kuzaliwa Nabiy Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam Haijulikani

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah).

 

www.alhidaaya.com [2]

 

 

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amejibu katika fatwa aliyoulizwa kuhusu mazazi ya Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akasema:

 

Kwa kuanzia, siku haswa ya kuzaliwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) haijulikani kwa uhakika. Isipokuwa, wachunguzi wa sasa wamethibitisha kwamba alikufa tarehe 9 ya Rabiy'ul Awwal na sio tarehe 12 (kama inavyoaminika sana), na hivyo hakuna msingi wa historia kwa kunasibisha tarehe 12 na sherehe.  [Majmuw’ Fataawaa, Muhammad bin Swaalih Al-'Uthaymiyn Juz. 2 uk .297-300]

 

 

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9364

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9364&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Maulidi%3A%20Siku%20Ya%20Kuzaliwa%20Nabiy%20%EF%B7%BA%20Haijulikani