Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Shaykh Fawzaan: Ameacha Kuswali Baada Ya Kudhani Ni Hedhi Je Alipe Swalaah?

Shaykh Fawzaan: Ameacha Kuswali Baada Ya Kudhani Ni Hedhi Je Alipe Swalaah?

Shaykh Fawzaan [1]

 

Ameacha Kuswali Baada Ya Kudhani Ni Hedhi Je Alipe Swalaah?

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com [2]

 

 

 

 

 

SWALI:

 

Je, mwanamke akiona damu kidogo akaacha kuswali, kisha damu ikasita siku hiyo (au ya pili yake), Je anatakiwa alipe Swalaah?

 

JIBU:

 

Ikiwa imemdhihirikia kwamba hiyo si damu ya hedhi  basi ni wajibu kwake kulipa Swalaah hizo alizozikosa.

 

[Sharh ‘Umdatil-Fiqh Kanda Namba 7 Swali Namba 44]

 

 

 

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9458

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/208
[2] http://www.alhidaaya.com/
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9458&title=Shaykh%20Fawzaan%3A%20Ameacha%20Kuswali%20Baada%20Ya%20Kudhani%20Ni%20Hedhi%20Je%20Alipe%20Swalaah%3F