Alhidaaya.com
Published on Alhidaaya.com (https://www.alhidaaya.com/sw)

Ukurasa Wa Kwanza > Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Mwanamke Kuvaa Dhahabu Katika Sherehe Na Mikusanyiko Ya Furaha

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Mwanamke Kuvaa Dhahabu Katika Sherehe Na Mikusanyiko Ya Furaha

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [1]

 

Mwanamke Kuvaa Dhahabu Katika Sherehe Na Mikusanyiko Ya Furaha

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com [2]

 

SWALI:

 

Je inaruhusika kwangu kuvaa dhahabu katika sherehe na mikusanyiko ya furaha?

 

JIBU:

 

Anaruhusiwa mwanamke kuvaa dhahabu katika sherehe na mikusanyiko ya furaha madamu tu wanaume wasiokuwa mahaarim wake hawataona, na kwamba walioko naye ni wanawake tu au ni wanaume ambao ni mahaarim wake.

 

 

[Fataawaa Nuwr ‘Alad-Darb Swali Namba 5757, Uk 202, Mj 11]

 

 

 

Share [3]
www.alhidaaya.com

Source URL: https://www.alhidaaya.com/sw/node/9459

Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/206
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9459&title=Imaam%20Ibn%20%27Uthaymiyn%3A%20Mwanamke%20Kuvaa%20Dhahabu%20Katika%20Sherehe%20Na%20Mikusanyiko%20Ya%20Furaha